
Date: July 16, 2026
Location: Arusha Region, Ngorongoro District
Original Report (Swahili):
Boma lililopo Wilaya ya Ngorongoro, Tarafa ya Loliondo, Mkoa wa Arusha. Wanyama husika ni kondoo jike 2, umri 1yr Black na 2yrs Red Persian. Hawa kondoo hawajaumwa na mbwa, wameambukizwa na kondoo ambao waliumwa na mbwa. Katika boma hili wameshakufa kondoo 6 walioumwa na mbwa mwenye kichaa, hata sasa wamebaki kondoo 5 kati ya saba waliokuwa na dalili za hawa 2 waliokufa leo. Hata hivyo wameshauriwa kuchukua tahadhari ya kuchanja kondoo ambao hawajaonesha dalili, na wenye dalili wauwawe kisha wafukiwe. Test imefanyika matokeo ni +ve.
(Jina la boma na maelezo ya kitongoji, kijiji na kata yameondolewa kwa faragha. Homestead name and sub-village, village, and ward details removed for privacy.)
Translation:
The dog came through the boma once. It bit six sheep, and over the following weeks all six died.
The family had reason to believe the worst was behind them. The animals that were bitten were gone, and the rest of the herd had never been touched. Then seven more sheep began showing the same signs, none of them bitten by the dog. Rabies had moved from sheep to sheep inside the herd.
Two of those seven died on July 16: a one-year-old black ewe and a two-year-old red Persian. Laboratory testing confirmed rabies. Five animals are still standing with clinical signs, and none of them will recover.
Field officers gave the family the only guidance available at this stage. Vaccinate the sheep that are still healthy. Euthanize and bury the ones already showing signs.
*One unvaccinated dog will cost this household thirteen sheep. For a pastoralist family that is savings, food, and standing in the community, lost over a few weeks to an animal that could have been protected for two dollars and fifty cents. Livestock deaths almost never appear in rabies statistics, and they are among the strongest arguments for vaccinating every dog in a community.







